Tuesday 20 September 2016

MKUU WA WILAYA YA MOMBA AKIONGEA NA WAKUU WA IDARA NA VITENGO WA WILAYA YA MOMBA























Mkuu wa wilaya ya Momba Mh Juma S. Irando akifanya kikao kazi na wakuu wa idara na vitengo wa Halmashauri ya wilaya ya Momba akiwasisitiza kufanya kazi kwa bidii na kuwasisitiza watumishi kutojishughulisha na kazi za kisiasa.Pia mkuu wa wilaya aliisisitiza idara ya Uvuvi na maliasili kuzuia swala la uchomaji wa Mkaa.

0 comments:

Post a Comment