Wednesday 21 September 2016

MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MOMBA IKIFUNGUA KIKAO CHA TAARIFA ZA C.A.G



Mh. Mathew kikoti Mwanyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Momba akifungua kikao maalamu cha kamati ya fedha kujadili tarifa za  za wakaguzi wa nje (CAG).akiwasisitiza wajumbe kuwa makini katika kikao
    Waheshimiwa Madiwani na watalamu wakimsikiza Mwenyekiti wa Halmashauri katika ufunguzi
    wa kikao hicho.

0 comments:

Post a Comment