Saturday 17 September 2016

MKUU WA WILAYA YA MOMBA AKITEMBELEA ZAHANATI YA KATA YA MIYUNGA


Mkuu wa wilaya ya Momba Mh Juma S. Irando akiambata na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Momba  Mr Adriani Jungu wakifanya dhihara  katika zahanati ya kata ya Miyunga iliyoko wilaya ya Momba .
Mazumuni ya Dhihara hiyo ilikuwa ni kuongea na watumishi za  Zahanati hiyo ili kuweza kutahimini changamoto wanazokutananazo katika mazingira ya kazi.

1 comment: